Thursday, November 5, 2009

BREAKINGNEWzzzzzzz MZOGA WA NYAMA YA NG'OMBE NUSURU UWATOE ROHO WATU 30 IRINGA.............










Madaktari wa hospitali teule ya wilaya ya Iringa vijijini (TOSAMAGANGA) wakiwahudumia wananchi 14 kati ya 30 wa kijiji cha Kibebe kata ya Ulanda ambao wamenusurika kifo kwa kufakamia mzoga wa nyama ya ng'ombe aliyekufa

kazi ya kunusuru maisha ikiendelea


Hivi ndivyo jitihada zinavyoendelea kufanywa hospitali ya Tosamaganga




Watoto hao pia walilishwa mzoga huo wa nyama ya ng'ombe
Soma habari kamili hapa

0 comments: