Sunday, November 8, 2009

HIVI NDIVYO MAISHA CLAB INAVYOTEKETEA KWA MOTO..............













Clab ya Maisha Dar akiwaka moto leo












Vikosi vya uokoaji vikiwasili eneo la tukio
















Kazi ya uokoaji ikiendelea










Jitihada za uokoaji zikiendelea kufanywa katika jengo la Msasani Clab ambalo linaungua kwa moto jioni hii

Hivi ndivyo jengo la Maisha Clab liililopo ostabei jijini Dar linavyoendelea kuteketea kwa moto jioni hii jijini humo,pichani ni vikosi vya uokoaji vikiendelea kuliokoa jengo hilo ,kwa undani wa tukio hili usikose kusoma gazeti la Tanzania daima kesho.

0 comments: