Friday, November 6, 2009

MTUHUMIWA WA MAUWAJI YA WANAFUNZI VETA AFIKISHWA MAHAKAMANI LEO

Mtuhumiwa wa mauwaji ya wanafunzi wawili wa kike katika chuo cha VETA Iringa afikishwa mahakamani akiwawa na dereva wake ,wasomewa shitaka wakana kuhusika kuua kwa risasi

0 comments: